#EXCLUSIVE: GEORGE JOB AIBUKA MKATABA wa FEI TOTO YANGA, DICKSON JOB – “WANAHITAJI WASIMAMIZI”….
EXCLUSIVE: GEORGE JOB AIBUKA MKATABA wa FEI TOTO YANGA, DICKSON JOB – “WANAHITAJI WASIMAMIZI”…. GLOBAL …
Make Money Online on paidwork.com
Make Money Online on zoombucks.com
Make Money Online on squishycash.com
EXCLUSIVE: GEORGE JOB AIBUKA MKATABA wa FEI TOTO YANGA, DICKSON JOB – “WANAHITAJI WASIMAMIZI”…. GLOBAL …
source
GLOBAL TV ONLINE,HABARI MPYA,GLOBAL TV,BREAKING NEWS,george job,fei toto,feisal salum,MILLARD AYO,WASAFI TV,AZAM SPORTS,YANGA SC,SIMBA SC,AZAM FC,USAJILI YANGA,USAJILI SIMBA,USAJILI AZAM,TRENDING VIDEOS
32 Comments
Global TV Online
December 29, 2022 - 7:38 amSUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 https://bit.ly/3MraYdQ
Joseph Mtemi
December 29, 2022 - 7:38 amKwa afya ya Yanga, ni bora kumwacha aondoke la sivyo maboresho makubwa watakayompa Feisal yatakuwa Kansa. Kila mzawa atadai kivyake na yeye ayapate. Matokeo yake ni kushusha moral ya timu. Wakimruhusu aondoke, kansa hiyo itahamia Azam kama kweli wamemwekea Feisal ofa hiyo mezani.
Said Suleiman
December 29, 2022 - 7:38 amMchezaji kama mwanamke akishakwambia bwana mwingine hakuna mjadala achana nae haraka sana
Amali Kakiva
December 29, 2022 - 7:38 amAmeondoka lamine moro.job ni mchezaji mzuri ila so mchezaji wakutaka mihela mingi akizingua aondoke
Amali Kakiva
December 29, 2022 - 7:38 amWewe acha kudanganya watu feisal hawezi kuwapa yanga presha yupo aziz ki ni zaidi ya feisal .au saido ameindoka sembuze fei.hata job akizingua aondoke!!
Hanifa Omar
December 29, 2022 - 7:38 amFey wewe nimchezaji mkubwa Sana lazima ulipwe nzuli mm kama mshabiki wa Simba 🤣🤣👌 twende zetu lasivyo mkwanja mezani
Anitha Widambe
December 29, 2022 - 7:38 amNA NYIE WACHAMBUZI MWACHENI AENDE AZAM NI WAO TU MASILAHI YAO NA KIDOGO MNO. HILO NI FUNZO KWA VIONGOZI WA TIMU TOFAUTI KUWADHARAU NA KUWAHUSUDU WACHEZAJI WA KIGENI.
Iddi Mngazija
December 29, 2022 - 7:38 amUkimsikiliza uyu jamaa unahitaji kuwa na karam na karatasi kwaajili ya kuchukua madini👏👏👏
amani salumu
December 29, 2022 - 7:38 amUchambuzi safi kabisa 🙏🙏
madera
December 29, 2022 - 7:38 amnimependa ulivomalizia huna ushaur wa kuwapa wabongo wengi tunapenda kujifanya kila kitu tunaweza kushaur
Richard Shayo
December 29, 2022 - 7:38 amJamaa anajua kuchambua kuliko matako yule kazumali
Latipha Ramadhani
December 29, 2022 - 7:38 amNdani ya George mwaisa job naona namna anavyo muhulumia feitoto kwa mambo anayo fanya na management lakini pia naona jins anavyo jaribu kufikisha ujumbe kwa feisal na management yake kwa ujumla maana naye anawachezaji anao wamenage kwa iyo anaelewa
Give Mbwilo
December 29, 2022 - 7:38 amsawa ila kiswanglish balaa 😡😡
Peter Tarimo
December 29, 2022 - 7:38 amUpo vizuriii San br
Charles Joseph
December 29, 2022 - 7:38 amKamua kwenda kwenye fweza Utopolo acha kutapatapa pambafuuuu
VOIC DESITION
December 29, 2022 - 7:38 amJoj job wewe ni mchambuzi aisee
Nicholaus Kilosa
December 29, 2022 - 7:38 amKila mchezaji ana mkataba wake tofauti na mwenzake,, mishahara inatofautiana kati ya mchezaji na mchezaji!!
Suzan charles
December 29, 2022 - 7:38 amManagement ya yanga ni mbovu mbovu sana inafanya mambo kilocal sana
Patrick Ngalya
December 29, 2022 - 7:38 amHuyu jamaa Huwa nampenda sana sababu amenyooka sana hanaga utimu kwenye ukweli safi sana Feisal Hana manager zaid ya mzazi wake ni kosa kubwa sana
Joel Baltazali
December 29, 2022 - 7:38 amUmeeleweka broo
Daud Khatib
December 29, 2022 - 7:38 amUyoo. Job. Anajuwa. Kitu. Kuliko. Wahusika. Wenyewe. Yanga. ???
Mohamed Jeizan
December 29, 2022 - 7:38 amDada wa utopolo na meneja wa wachezaji wa utopolo.
Huyu anadai wachezaji wake wanapata kinacho stahili.
Uwongo mtupu SI ajabu wachezaji wake wanapata laki laki Kwa mwezi.
Hiyo ndio ishatoka hojioneni mpaka kesho.
Hassan Paramana
December 29, 2022 - 7:38 amEngineer kama inawezekana mpeni hicho fei anacho taka mbona tunataka kuumizana roho sahizi hivi tunakumbuka wapi tulipo toka na huyu fei toto kumbukeni kaipambania timu ktk nyakati zote mbili furaha na kilio jamani jamani yasije yakatukuta kama ya liverpool na mane kuuzwa Bayer munich. huyo mtu anamapenzi na timu maslahi anayo yataka ni kutokana na khali ya uchumi pia kupanda daaah nahisi kupumua punzi ya moto wallah nilikuwaga nasikiaga tu Ahmed Ally anapumulia pumzi ya moto kisa mpira na mimi leo nimehihisi kudaaaadeekiii mpaka kifua kinabana shubaaaminti 😭🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
Uwezo Jonasi
December 29, 2022 - 7:38 amUkweli fei na hela anayo lipwa yanga haviendani hata. Kidg
James Chumbula
December 29, 2022 - 7:38 am🤔du! Uyu dada mzur kwakwer💌💓🙋💖🤗🌟
winstone mugarula
December 29, 2022 - 7:38 amJob,unajua kuchambua soka,umeeleweka,umetoa shule pia🤝
Benson Joseph
December 29, 2022 - 7:38 amYour very smart GEORGE
Shaban kittenge
December 29, 2022 - 7:38 amWachambuz wa wasafi wapo bright sanaaa
Hamisi Balale
December 29, 2022 - 7:38 amFeitoo
Herry Mathayo
December 29, 2022 - 7:38 amBro hupo vzr sana tofauti na yule shoga wa ndanda sec jemedari.umechambua vizuri si kimajungu.big up bro hupo vizuri
yusuph jilala
December 29, 2022 - 7:38 amKapoteaa😂😂
burudani tiv
December 29, 2022 - 7:38 amKabisa broo lkn kwa habari zilizo toka mida ya saa tisa arasiri klabu ya yanga imeandika kuwa fei amekyuka kanuni za mkataba sasa izo ni shida ambazo wachezaji wetyuu wanashindwa kutambua
Comments are closed.