50 Comments

  • @michaelkisalisho8698

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Ni Kweli Kabisaa Vitu Avyosema Hasa Hapo Kwenye Kujifunza Vijana Wengine Huwa Hawataki Kujifunza Wanataka Tu Pesa Za Chap Chap Ndio Wanapigwa πŸ˜‚

  • @michaelkisalisho8698

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Nimependa The Way Anavyojibu Kwa Utulivu Na Anaelezea Vizuri Sana Yaani Mtu Unamuelewa BIG SANA πŸ™ŒπŸ’ͺπŸ’ͺ

  • @paulconrad7091

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Nili tapeliwa 100000…sto sahau

  • @syntaxsaintezzer5547

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Nashangaaa watu wanasema FOREX ngumu ila wana sahau cryptocurrencies kam BITCOIN ambayo moja ni 130M tzs na ethereum 1 ni $2,667 usd yeni kule ndo sio pw market ni high volatile yeni risk balaaaa !

  • @user-rk3iz5ci5z

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Nikitaka kukutana na amri niongee nae what should I actually do

  • @ramadhannjila5178

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    brother ameiva, noma sana

  • @eliezerwamungu4614

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Forex siy biashara rahisi kam gisi watu wanavyozani ,inawez ikachukuw hata myaka 2 had 5 ili uw successful forex trader

  • @hustlersworld93

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Tunaomba utuletee liqudator kaka atupe story

  • @annacyril5832

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

  • @KingaoMBALI-wk2gg

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Patience

  • @fxkigali

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Ahsante kwa info zinazohusu forex na online business kwa ujumula,
    Mimi naomba utuleteye Jama moja hapo Tanzania tunasikia kama ametengeneza an Automate HFT Bot inayo saidia kufanya kazi ya forex without engagement of human knowledge. Tujue kama ni ukweli hasa au ni utapeli tu.

    Naitwa Cisco intermediate Forex Trader kutoka Kigali inchini Rwanda

  • @ZaiKijiweNongwa-yd9zw

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Jamaa yupo real sana

  • @pikipiki_market

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Maswali anayo uliza dah 😒

  • @pikipiki_market

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Amr hujawahi zingua

  • @boniphacegervas8118

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Tc matter of time vijana wengi watajifunza fx

  • @goyamwinuka8842

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    One thing about any money is how you monitoring your money and keep it consistent not to loose but increase it. We call it success

  • @iddyvedastus8457

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    We jifunze forex hata miaka laki 8 lakini kama hujaizoea pesa, narudia tena kama HUJAIZOEA PESA huwezi ku trade forex NEVAAAAAAAA

  • @anthonylukuwi1968

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Appreciate

  • @ephraimndelwa4073

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Tangu march 2023 najifunza fx na sijaanza Kupata profit Bado nachoma akaunt

  • @jessenelson5647

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰

  • @user-fj7zp7ow9z

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Tunaomba atupe sehm sahihi ya kupt maalif pia app tunayowez kutumia

  • @user-fj7zp7ow9z

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Tunaomba atupe sehm sahihi ya kupt maalif pia app tunayowez kutumia

  • @user-fj7zp7ow9z

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Tunaomb tujue makampun na appy tunayowez kutumia pia sehm sahh ya kupt maalif

  • @charlieshayo546

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Well said brother Amrisaly. Nataka kutoa funzo kidogo kuhusu Bitcoin and why is it so popular?

    Bitcoin ni sarafu ya kidigitali ambayo inaleta mapinduzi ulimwenguni juu ya sarafu halisi (nikimwanisha paper money). Bitcoin ni token (sarafu) iliyotengenezwa kwenye mfumo wa blockchain (end to end encryption) ikimaanisha imetengenzezwa katika platform ya uficho (usiri) kati ya mpokeaji na mtumaji. Kwa maana hii ni kwamba mtu anaweza kutuma safaru hii ya kimtandao kutoka pande moja kwenda upande wa pili pasipo na public knowledge yaani uelewa wa nje. Kiufupi ni kusema kwamba Bitcoin ni sarafu ya mtandao isiyokua na tume ya usimamizi, nikisema hivi namaanisha;

    Mfumo wa paper money hua unasimamiwa na mabenki makuu (central banks) kwenye kila nchi sasa haya mabenki makuu huona kila miamala inayofanyika kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwengine. Halikadhalika mabenki haya mkuu yamekua yakihusishwa na upotevu (naweza kuita wizi) wa fedha hizi za wananchi mfano mara kadhaa na katika mataifa mbalimbali ulimwenguni.

    Halikadhalika mabenki haya makuu duniani yamekua na tabia ya kuchapisha noti za fedha na kuingiza katika uchumi wa nchi husika kila mara nchi husika inapopata janga fulani la kiuchumi. Unapoingiza pesa kwenye mzunguko wa uchumi itapelekea hali ya mfumuko wa bei kwa siku za mbeleni. Mfumuko huu wa bei unakuja kuathiri hali ya uchumi wa nchi na maisha ya wananchi husika.

    Hii ikapelekea wananchi kukosa imani na mfumo huu wa mabenki makuu yaani paper money. Hivyo wakajaribu kuanzisha njia mbadala ya kufanya malipo na miamala ya kifedha ambayo itakua inajisimamia yenyewe (decentralized system) na hapo ndipo Bitcoin ikazaliwa ambapo kazi yake ni kutuma muamala kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwengine pasipo kuonekana na mtu yeyote wa tatu, hii nikimaanisha endapo watu wawili wataafikiana kutumiana fedha kutpitia sarafu hii ya kimtandao (Bitcoin) hakuna mtu yeyote yule atakayeona muamala huo hata benki kuu haitoona muhamala huo.

    Ili kuweza kutuma pesa kwa mtu mmoja kwenda mwengine kupitia Bitcoin unatakiwa uwe na address (anwani) na private key (yaani funguo ya siri) na kisha pesa zako utazitunza kwenye wallet (pochi) ya kimtandao.
    Kama ukipoteza private key (funguo) yako basi ndio tuseme umepoteza pesa zako moja kwa moja kwani mfumo huu wa blockchain hauna namna ya ku-recover funguo hiyo hata iliyeunda Bitcoin mwenyewe hawezi kui-recover.

    Nafikiri sasa utagundua kwa nini Bitcoin imekua maarufu sana kulinganisha na crypto zingine. Ni kwa vile dhumuni la kuanzishwa kwake ni ili itumike kama sarafu ya malipo.

    Nikiripoti kutoka chimbo, ni mimi George Maratu wa YouTube πŸ˜‚

  • @user-ix3ep9fb7d

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    πŸ‘ŠπŸΎπŸ‘ŠπŸΎπŸ‘½

  • @holdpesa6317

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Good

  • @user-ro2vn9cp8c

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Kaka amrisaly shkuran sana

  • @crackerkkaka2034

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    mwamba anauliza maswali ambayo sio sahihi hata kidogo, kunauhitaji wa kua na host wa podcast anaejua forex au trading

  • @taojuma3277

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Psychology ( emotions), Good prediction of the markert na Good risk taker ( RM) yako kwenye game ndo itafanya forex iwe ngumu au rahisi kwako. It's very tough game kama huna roho nyepesi ❀

  • @InitialMatemu

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

  • @alamanomsungu9556

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Podcast nzuri Lakin I wish Tupate Host anaejua Forex Hata Kidogo Tyu

  • @mohdmohd8428

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Forex ngoma ingine hii baba

  • @jeremiahmasanja8185

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Kununua coz ako inagharimu shingapi brow na naipatake online

  • @SAMBACHEFOUNDATION

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Naomba utupatie mawasiliano ya mwamba

  • @chiefkwanza495

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    AMRISALY kaongea vizuri na uhalisia wa forex

  • @DBIRobotics

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Kama hauna kazi husi-trade forex,tafuka kazi huku ukijifunza forex,ukishakuwa masta acha kazi kafanye forex

  • @gibbs1320

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Kama una taka jifunza Forex nitafute ila uwe tayari kujifunza kwa muda hakuna short cut.
    UWE NA LAPTOP NA MTAJI KAMA LAKI 3.

  • @bullsandbearstz

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Amrisal kaamua kuwaambia tu ukwelii no short cut

  • @paulonyenza3841

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Good

  • @chroniclesbyKB

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    you got to have a do or die mentality to make it out in the forex markets kijana ni muda sasa wa ku badilisha mitazamo yetu ya kiuchumii nakuipa nafasi hali ya utandawazi kutufanyia kazi na kutufungulia milango ya mafanikio God bless TZ traders

  • @babelonebarber6346

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Clear 🀞🏿

  • @meddy_upette9511

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Huyo ndo Amr bwanaa πŸ”₯

  • @emmanuellwinga5686

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Kwenye swala la kwanini kufundisha kwa pesa watu wabaki na msemo kwamba "there is no such thinh as something for nothing" bas

  • @gabylovestech

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰

  • @MizzlekingFX

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Seen

  • @jamesodatt9014

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    For those who want to learn forex in a systematic way, i will be releasing a playlist together with my fellow goat @ royalkwesy two monthes from now so follow us and wait for the service, the playlists will be free, from begginer to pro, so get ready

  • @jamesodatt9014

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    What broker do u ,use bro am having difficulties with most brokers who link themselves with Tanzania, am just a currency, indicies day trader

  • @kwisa4899

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Fx ngumu jamani bila kufungua jicho la 3 utoboi lazima utenge muda na miaka 5 zaidi kulifungua

  • @makeyourowndestiny

    March 13, 2024 - 6:48 pm

    Hadithi ya Amri IFX ni ushuhuda wa nguvu ya uchumi wa mtandaoni, jambo ambalo sisi ni wenye shauku nalo kwenye Make Your Own Destiny Podcast. Tunajadili kila kitu kuhusu pesa, biashara, na mikakati ya kufanikiwa katika enzi hii ya kidijitali. Kama ulivutiwa na hadithi ya Amri na unatafuta maarifa zaidi kuhusu uhuru wa kifedha, podcast yetu inaweza kukupa mitazamo ya thamani.

Comments are closed.